28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+
33 Baada ya jambo hilo Yeroboamu hakugeuka kutoka katika njia yake mbaya, bali alianza kuweka tena makuhani wa mahali pa juu kutoka kwa watu wa kawaida.+ Na mtu yeyote aliyependa jambo hilo, akawa anaujaza mkono wake nguvu,+ akisema: “Na awe mmoja wa makuhani wa mahali pa juu.”