Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 13:1

Marejeo

  • +2Fa 23:17
  • +1Fa 20:35; Isa 1:2; Yer 25:3
  • +1Fa 12:32; Amo 3:14
  • +Hes 16:40; 2Nya 26:18; Yer 11:12

1 Wafalme 13:2

Marejeo

  • +2Fa 21:24; 22:1; 23:15, 29; 2Nya 34:33
  • +2Fa 23:16; 2Nya 34:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2014, uku. 5

1 Wafalme 13:3

Marejeo

  • +Kum 13:1; Amu 6:17; 1Sa 2:34; Isa 20:3; 1Ko 1:22

1 Wafalme 13:4

Marejeo

  • +2Nya 16:10; Zb 105:15; Yer 20:2
  • +2Fa 6:18; Mdo 5:39; 13:11

1 Wafalme 13:5

Marejeo

  • +Kum 18:22

1 Wafalme 13:6

Marejeo

  • +Kut 10:17; Hes 21:7; Yer 37:3; Mdo 8:24; Yak 5:16
  • +1Sa 12:23
  • +Kut 4:7; Hes 12:13

1 Wafalme 13:7

Marejeo

  • +Amu 13:15; 19:21
  • +1Fa 14:3; 2Fa 5:15; Yer 40:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2008, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 8/15 8-9

1 Wafalme 13:8

Marejeo

  • +Hes 22:18; Est 5:3; 7:2; Mk 6:23
  • +2Fa 5:16; Zb 139:21

1 Wafalme 13:9

Marejeo

  • +Zb 141:4; 1Ko 5:11; Efe 5:11; 2Yo 11; Ufu 18:4

1 Wafalme 13:11

Marejeo

  • +1Sa 10:10; Eze 13:2; Amo 3:7

1 Wafalme 13:13

Marejeo

  • +Hes 22:21; Amu 5:10; 2Sa 19:26

1 Wafalme 13:14

Marejeo

  • +1Fa 19:4
  • +1Fa 13:1

1 Wafalme 13:16

Marejeo

  • +Hes 22:13

1 Wafalme 13:17

Marejeo

  • +Kum 13:3
  • +1Fa 13:9

1 Wafalme 13:18

Marejeo

  • +Hes 22:35; Amu 6:11; Gal 1:8
  • +Law 19:11; Kum 18:20; Yer 29:31; Eze 13:9; Mt 7:15; 2Pe 2:1; 1Yo 4:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2008, kur. 9-10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 8/15 9

1 Wafalme 13:19

Marejeo

  • +Met 23:8

1 Wafalme 13:20

Marejeo

  • +Hes 23:5, 16; 24:4

1 Wafalme 13:21

Marejeo

  • +Hes 20:24; 22:32
  • +Zb 119:4; Met 19:16; 1Yo 5:3

1 Wafalme 13:22

Marejeo

  • +1Fa 13:30; 2Fa 23:18

1 Wafalme 13:24

Marejeo

  • +1Fa 20:36; 2Fa 17:25; Amo 5:19
  • +2Sa 6:7; Nah 1:2

1 Wafalme 13:26

Marejeo

  • +1Fa 13:9
  • +1Fa 13:21; Met 11:31; Ebr 12:29

1 Wafalme 13:27

Marejeo

  • +1Fa 13:13

1 Wafalme 13:28

Marejeo

  • +Da 6:22

1 Wafalme 13:30

Marejeo

  • +Mdo 8:2

1 Wafalme 13:31

Marejeo

  • +2Fa 23:18; Ebr 11:22

1 Wafalme 13:32

Marejeo

  • +Hes 23:19; Isa 55:11
  • +1Fa 12:29; 2Fa 23:15
  • +Law 26:30; 1Fa 12:31
  • +2Fa 23:19

1 Wafalme 13:33

Marejeo

  • +1Fa 12:31; 2Nya 11:14
  • +2Nya 11:15

1 Wafalme 13:34

Marejeo

  • +1Fa 12:30; 16:31; 2Fa 3:3; 10:31; 13:2; 17:21
  • +1Fa 14:10; 15:29; 2Fa 17:23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 13:12Fa 23:17
1 Fal. 13:11Fa 20:35; Isa 1:2; Yer 25:3
1 Fal. 13:11Fa 12:32; Amo 3:14
1 Fal. 13:1Hes 16:40; 2Nya 26:18; Yer 11:12
1 Fal. 13:22Fa 21:24; 22:1; 23:15, 29; 2Nya 34:33
1 Fal. 13:22Fa 23:16; 2Nya 34:5
1 Fal. 13:3Kum 13:1; Amu 6:17; 1Sa 2:34; Isa 20:3; 1Ko 1:22
1 Fal. 13:42Nya 16:10; Zb 105:15; Yer 20:2
1 Fal. 13:42Fa 6:18; Mdo 5:39; 13:11
1 Fal. 13:5Kum 18:22
1 Fal. 13:6Kut 10:17; Hes 21:7; Yer 37:3; Mdo 8:24; Yak 5:16
1 Fal. 13:61Sa 12:23
1 Fal. 13:6Kut 4:7; Hes 12:13
1 Fal. 13:7Amu 13:15; 19:21
1 Fal. 13:71Fa 14:3; 2Fa 5:15; Yer 40:5
1 Fal. 13:8Hes 22:18; Est 5:3; 7:2; Mk 6:23
1 Fal. 13:82Fa 5:16; Zb 139:21
1 Fal. 13:9Zb 141:4; 1Ko 5:11; Efe 5:11; 2Yo 11; Ufu 18:4
1 Fal. 13:111Sa 10:10; Eze 13:2; Amo 3:7
1 Fal. 13:13Hes 22:21; Amu 5:10; 2Sa 19:26
1 Fal. 13:141Fa 19:4
1 Fal. 13:141Fa 13:1
1 Fal. 13:16Hes 22:13
1 Fal. 13:17Kum 13:3
1 Fal. 13:171Fa 13:9
1 Fal. 13:18Hes 22:35; Amu 6:11; Gal 1:8
1 Fal. 13:18Law 19:11; Kum 18:20; Yer 29:31; Eze 13:9; Mt 7:15; 2Pe 2:1; 1Yo 4:1
1 Fal. 13:19Met 23:8
1 Fal. 13:20Hes 23:5, 16; 24:4
1 Fal. 13:21Hes 20:24; 22:32
1 Fal. 13:21Zb 119:4; Met 19:16; 1Yo 5:3
1 Fal. 13:221Fa 13:30; 2Fa 23:18
1 Fal. 13:241Fa 20:36; 2Fa 17:25; Amo 5:19
1 Fal. 13:242Sa 6:7; Nah 1:2
1 Fal. 13:261Fa 13:9
1 Fal. 13:261Fa 13:21; Met 11:31; Ebr 12:29
1 Fal. 13:271Fa 13:13
1 Fal. 13:28Da 6:22
1 Fal. 13:30Mdo 8:2
1 Fal. 13:312Fa 23:18; Ebr 11:22
1 Fal. 13:32Hes 23:19; Isa 55:11
1 Fal. 13:321Fa 12:29; 2Fa 23:15
1 Fal. 13:32Law 26:30; 1Fa 12:31
1 Fal. 13:322Fa 23:19
1 Fal. 13:331Fa 12:31; 2Nya 11:14
1 Fal. 13:332Nya 11:15
1 Fal. 13:341Fa 12:30; 16:31; 2Fa 3:3; 10:31; 13:2; 17:21
1 Fal. 13:341Fa 14:10; 15:29; 2Fa 17:23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 13:1-34

1 Wafalme

13 Na tazama, palikuwa na mtu+ wa Mungu aliyekuwa amekuja kutoka Yuda kwa neno+ la Yehova ili kwenda Betheli, Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu+ ili kufukiza moshi wa dhabihu.+ 2 Ndipo akaipaazia sauti ile madhabahu kwa neno la Yehova, akasema: “Ee madhabahu, madhabahu, Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Mwana aliyezaliwa katika nyumba ya Daudi, ambaye jina lake ni Yosia!+ Naye atawatoa juu yako wawe dhabihu wale makuhani wa mahali pa juu wanaofukiza moshi wa dhabihu juu yako, naye atateketeza mifupa ya watu juu yako.’”+ 3 Naye akatoa ishara+ siku hiyo, akisema: “Hii ndiyo ishara ambayo Yehova amesema: Tazama! Madhabahu imepasuka, na majivu yenye mafuta yaliyo juu yake yatamwagika.”

4 Na ikawa kwamba mara tu mfalme aliposikia neno la yule mtu wa Mungu wa kweli alilokuwa ametangaza juu ya ile madhabahu katika Betheli, mara moja Yeroboamu akanyoosha mkono wake kutoka katika madhabahu, akisema: “Mkamateni!”+ Mara moja mkono wake aliomnyooshea ukapooza, naye hakuweza kuurudisha nyuma kwake.+ 5 Na ile madhabahu ikapasuka hivi kwamba majivu yenye mafuta yakamwagika kutoka katika madhabahu, kulingana na ile ishara ambayo yule mtu wa Mungu wa kweli alitoa kwa neno la Yehova.+

6 Ndipo mfalme akajibu na kumwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Tafadhali, utulize uso wa Yehova Mungu wako, na kusali kwa ajili yangu ili nirudishiwe mkono wangu.”+ Basi yule mtu wa Mungu wa kweli akautuliza+ uso wa Yehova hivi kwamba mkono wa mfalme ukarudishwa kwake, nao ukawa kama pale mwanzoni.+ 7 Na mfalme akaendelea kumwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Njoo pamoja nami twende nyumbani ule chakula,+ nami nikupe zawadi.”+ 8 Lakini yule mtu wa Mungu wa kweli akamwambia mfalme: “Hata ukinipa nusu ya nyumba yako,+ siwezi kwenda pamoja nawe+ na kula mkate au kunywa maji mahali hapa. 9 Kwa maana hivyo ndivyo yeye alivyoniamuru kwa neno la Yehova, akisema, ‘Usile mkate+ wala usinywe maji, nawe usirudi kwa njia ile uliyoiendea.’” 10 Naye akaanza kwenda kupitia njia nyingine, wala hakurudi kwa njia ile aliyoipitia kuja Betheli.

11 Na nabii+ fulani mzee alikuwa akikaa Betheli, na wanawe wakaja na kumsimulia kazi yote ambayo yule mtu wa Mungu wa kweli alikuwa amefanya siku hiyo katika Betheli na yale maneno aliyomwambia mfalme, nao wakaendelea kumsimulia baba yao. 12 Ndipo baba yao akawaambia: “Basi alienda kupitia njia gani?” Kwa hiyo wanawe wakamwonyesha ile njia ambayo yule mtu wa Mungu wa kweli aliyetoka Yuda alipitia akienda. 13 Sasa akawaambia wanawe: “Nitandikieni punda.” Basi wakamtandikia punda,+ naye akampanda na kwenda.

14 Naye akaanza kumfuata yule mtu wa Mungu wa kweli, akamkuta ameketi chini ya ule mti mkubwa.+ Ndipo akamwambia: “Je, wewe ndiye yule mtu wa Mungu wa kweli ambaye ametoka Yuda?”+ naye akasema: “Ni mimi.” 15 Naye akaendelea kumwambia: “Njoo pamoja nami nyumbani, ule mkate.” 16 Lakini akasema: “Siwezi kurudi pamoja nawe wala kuingia pamoja nawe, nami siwezi kula mkate wala kunywa maji pamoja nawe mahali hapa.+ 17 Kwa maana nimeambiwa kwa neno la Yehova,+ ‘Usile mkate wala usinywe maji huko. Usirudi tena kupitia njia ile uliyoiendea.’”+ 18 Kwa hiyo akamwambia: “Mimi pia ni nabii kama wewe, na malaika+ alisema nami kwa neno la Yehova hivi, ‘Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako ili ale mkate na anywe maji.’” (Alimdanganya.)+ 19 Basi akarudi pamoja naye ili ale mkate nyumbani kwake na anywe maji.+

20 Na ikawa kwamba walipokuwa wameketi mezani, neno+ la Yehova likamjia yule nabii aliyekuwa amemrudisha; 21 naye akaanza kumwambia kwa sauti yule mtu wa Mungu wa kweli aliyekuwa ametoka Yuda, na kusema: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu uliasi+ agizo la Yehova wala hukushika amri ambayo Yehova Mungu wako alikuamuru,+ 22 lakini ulirudi ili ule mkate na kunywa maji mahali ambapo alikuambia: “Usile mkate wala usinywe maji,” maiti yako haitaingia katika makaburi ya mababu zako.’”+

23 Na ikawa kwamba baada ya huyo kula mkate na kunywa maji, mara moja akamtandikia punda, yaani, yule nabii aliyekuwa amemrudisha. 24 Naye akaanza kwenda zake. Baadaye simba+ akamkuta barabarani na kumuua,+ nayo maiti yake ikatupwa barabarani. Na yule punda akasimama kando yake, na simba akasimama kando ya ile maiti. 25 Na tazama, palikuwa na watu wakipita, nao wakaiona ile maiti imetupwa barabarani na simba amesimama kando ya maiti. Ndipo wakaingia na kusema habari hizo katika jiji ambamo yule nabii mzee alikuwa akikaa.

26 Yule nabii ambaye alikuwa amemrudisha akiwa njiani aliposikia habari hizo, mara moja akasema: “Huyo ni yule mtu wa Mungu wa kweli aliyeasi agizo la Yehova;+ na kwa hiyo Yehova alimkabidhi kwa simba, ili amvunje na kumuua, kulingana na neno la Yehova alilomwambia.”+ 27 Naye akaendelea kuwaambia wanawe, akisema: “Nitandikieni punda.” Basi wakamtandikia.+ 28 Kisha akaondoka, akakuta ile maiti imetupwa barabarani na punda na simba wamesimama kando ya maiti ile. Yule simba hakuwa ameila ile maiti, wala hakuwa amemsaga punda.+ 29 Na yule nabii akaibeba maiti ya yule mtu wa Mungu wa kweli na kuiweka juu ya punda, akairudisha. Basi akaja jijini mwa yule nabii mzee ili kumwombolezea na kumzika. 30 Kwa hiyo akaiweka maiti katika kaburi lake mwenyewe; nao wakaendelea kumwombolezea:+ “Ole wako, ndugu yangu!” 31 Na ikawa kwamba baada ya kumzika akawaambia wanawe: “Nitakapokufa mnizike katika kaburi ambamo yule mtu wa Mungu wa kweli amezikwa. Wekeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.+ 32 Kwa maana bila shaka litatimia+ neno lile alilotangaza kwa neno la Yehova juu ya ile madhabahu+ iliyoko Betheli na juu ya nyumba zote za mahali pa juu+ zilizo katika majiji ya Samaria.”+

33 Baada ya jambo hilo Yeroboamu hakugeuka kutoka katika njia yake mbaya, bali alianza kuweka tena makuhani wa mahali pa juu kutoka kwa watu wa kawaida.+ Na mtu yeyote aliyependa jambo hilo, akawa anaujaza mkono wake nguvu,+ akisema: “Na awe mmoja wa makuhani wa mahali pa juu.” 34 Na katika jambo hilo kukawa na kisababishi cha dhambi kwa nyumba ya Yeroboamu+ nayo ikawa sababu ya kuwafutilia mbali na kuwaangamiza kutoka katika uso wa nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki