2 Wafalme 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha akasema: “Lile jiwe la kaburi ninaloona pale ni gani?” Ndipo watu wa jiji lile wakamwambia: “Ni kaburi+ la yule mtu wa Mungu wa kweli aliyekuja kutoka Yuda,+ akatangaza mambo haya ambayo umefanya juu ya madhabahu ya Betheli.”+
17 Kisha akasema: “Lile jiwe la kaburi ninaloona pale ni gani?” Ndipo watu wa jiji lile wakamwambia: “Ni kaburi+ la yule mtu wa Mungu wa kweli aliyekuja kutoka Yuda,+ akatangaza mambo haya ambayo umefanya juu ya madhabahu ya Betheli.”+