Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ikiwa nabii+ au mwotaji wa ndoto+ atainuka katikati yenu naye awape ishara au kitu cha ajabu,+

  • Waamuzi 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako,+ unifanyie ishara kwamba wewe ndiwe unayesema nami.+

  • 1 Samweli 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+

  • Isaya 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yehova akaendelea kusema: “Kama vile Isaya mtumishi wangu alivyotembea akiwa uchi na miguu wazi kwa miaka mitatu ili kuwa ishara+ na dalili juu ya Misri+ na juu ya Ethiopia,+

  • 1 Wakorintho 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki