Kumbukumbu la Torati 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ikiwa nabii+ au mwotaji wa ndoto+ atainuka katikati yenu naye awape ishara au kitu cha ajabu,+ Waamuzi 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako,+ unifanyie ishara kwamba wewe ndiwe unayesema nami.+ 1 Samweli 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+ Isaya 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Yehova akaendelea kusema: “Kama vile Isaya mtumishi wangu alivyotembea akiwa uchi na miguu wazi kwa miaka mitatu ili kuwa ishara+ na dalili juu ya Misri+ na juu ya Ethiopia,+ 1 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+
17 Ndipo akamwambia: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako,+ unifanyie ishara kwamba wewe ndiwe unayesema nami.+
34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+
3 Na Yehova akaendelea kusema: “Kama vile Isaya mtumishi wangu alivyotembea akiwa uchi na miguu wazi kwa miaka mitatu ili kuwa ishara+ na dalili juu ya Misri+ na juu ya Ethiopia,+