Marko 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Makristo wa uwongo na manabii wa uwongo watatokea+ na kutoa ishara na maajabu+ ili kupotosha, ikiwezekana, wale waliochaguliwa.+ 2 Wathesalonike 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi-sheria ni kulingana na utendaji+ wa Shetani pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu+
22 Kwa maana Makristo wa uwongo na manabii wa uwongo watatokea+ na kutoa ishara na maajabu+ ili kupotosha, ikiwezekana, wale waliochaguliwa.+
9 Lakini kuwapo kwa huyo mwasi-sheria ni kulingana na utendaji+ wa Shetani pamoja na kila tendo lenye nguvu na ishara za uwongo na mambo ya ajabu+