Kumbukumbu la Torati 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ikiwa nabii+ au mwotaji wa ndoto+ atainuka katikati yenu naye awape ishara au kitu cha ajabu,+ Kumbukumbu la Torati 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+ Mathayo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.
22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+
15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.