Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ikiwa nabii+ au mwotaji wa ndoto+ atainuka katikati yenu naye awape ishara au kitu cha ajabu,+

  • Kumbukumbu la Torati 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+

  • Mathayo 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki