Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na sasa mnisamehe,+ tafadhali, dhambi yangu mara hii moja tu na kumsihi+ Yehova Mungu wenu apate kuniondolea pigo hili lenye kufisha.”

  • Hesabu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe watu wakamjia Musa na kusema: “Tumetenda dhambi,+ kwa sababu tumesema dhidi ya Yehova na dhidi yako. Tutetee kwa Yehova awaondoe nyoka hawa juu yetu.”+ Naye Musa akawatetea watu.+

  • Yeremia 37:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa Maaseya+ kuhani kwa Yeremia nabii, na kusema: “Tafadhali, sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”+

  • Matendo 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Simoni akajibu akasema: “Ninyi, mwombeni Yehova dua+ kwa ajili yangu ili hata moja kati ya mambo mliyosema lisinipate.”

  • Yakobo 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki