7 Mwishowe watu wakamjia Musa na kusema: “Tumetenda dhambi,+ kwa sababu tumesema dhidi ya Yehova na dhidi yako. Tutetee kwa Yehova awaondoe nyoka hawa juu yetu.”+ Naye Musa akawatetea watu.+
3 Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa Maaseya+ kuhani kwa Yeremia nabii, na kusema: “Tafadhali, sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”+
16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+