2 na kumwambia Yeremia nabii: “Tafadhali, ombi letu la kutaka kibali na lifike mbele yako, nawe usali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wako,+ kwa ajili ya mabaki hawa wote, kwa maana tumeachwa mabaki, wachache kati ya wengi,+ kama macho yako yanavyotuona.