Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo wana wa Israeli wakamwambia Samweli: “Usikae kimya kwa ajili yetu ukose kumwomba Yehova Mungu wetu msaada,+ atukomboe kutoka mkono wa Wafilisti.”

  • 1 Samweli 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na watu wote wakaanza kumwambia Samweli: “Sali+ kwa Yehova Mungu wako kwa ajili ya watumishi wako, kwa maana hatutaki kufa; kwa sababu tumeongeza uovu juu ya dhambi zetu zote kwa kujiombea mfalme.”

  • Isaya 37:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pengine Yehova Mungu wako atayasikia maneno ya Rabshake,+ ambaye mfalme wa Ashuru bwana wake alimtuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai, naye kwa kweli atamtoza hesabu kwa ajili ya maneno ambayo Yehova, Mungu wako, ameyasikia.+ Nawe uinue sala+ kwa ajili ya mabaki ambao wanapatikana.’”+

  • Yakobo 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki