2 Wafalme 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na Rabshake akaendelea kusimama na kuita kwa sauti kubwa katika lugha ya Wayahudi;+ naye akaendelea kusema: “Sikieni neno la mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru.
28 Na Rabshake akaendelea kusimama na kuita kwa sauti kubwa katika lugha ya Wayahudi;+ naye akaendelea kusema: “Sikieni neno la mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru.