18 Nao+ wakaendelea kuwaita watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta kwa sauti kubwa+ katika lugha ya Wayahudi+ ili kuwaogopesha+ na kuwatia wasiwasi, ili kwamba wapate kuliteka jiji.
13 Na Rabshake akaendelea kusimama+ na kuita kwa sauti kubwa katika lugha ya Wayahudi,+ naye akaendelea kusema: “Sikieni maneno ya mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru.+