28 Na Rabshake akaendelea kusimama na kuita kwa sauti kubwa katika lugha ya Wayahudi;+ naye akaendelea kusema: “Sikieni neno la mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru.
13 Na Rabshake akaendelea kusimama+ na kuita kwa sauti kubwa katika lugha ya Wayahudi,+ naye akaendelea kusema: “Sikieni maneno ya mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru.+