1 Samweli 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Halafu akasimama tuli, akaanza kuviita vikosi vya Israeli+ na kuwaambia: “Kwa nini mnatoka kujipanga kivita? Je, mimi si Mfilisti nanyi je, si watumishi+ wa Sauli? Jichagulieni mwanamume, naye ashuke, anijie.
8 Halafu akasimama tuli, akaanza kuviita vikosi vya Israeli+ na kuwaambia: “Kwa nini mnatoka kujipanga kivita? Je, mimi si Mfilisti nanyi je, si watumishi+ wa Sauli? Jichagulieni mwanamume, naye ashuke, anijie.