1 Wafalme 13:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Neno la Yehova alilokuwa ametangaza dhidi ya madhabahu iliyoko Betheli na dhidi ya nyumba zote za ibada zilizo mahali pa juu+ katika majiji ya Samaria hakika litatimia.”+
32 Neno la Yehova alilokuwa ametangaza dhidi ya madhabahu iliyoko Betheli na dhidi ya nyumba zote za ibada zilizo mahali pa juu+ katika majiji ya Samaria hakika litatimia.”+