1 Wafalme 13:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana bila shaka litatimia+ neno lile alilotangaza kwa neno la Yehova juu ya ile madhabahu+ iliyoko Betheli na juu ya nyumba zote za mahali pa juu+ zilizo katika majiji ya Samaria.”+
32 Kwa maana bila shaka litatimia+ neno lile alilotangaza kwa neno la Yehova juu ya ile madhabahu+ iliyoko Betheli na juu ya nyumba zote za mahali pa juu+ zilizo katika majiji ya Samaria.”+