2 Wafalme 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na pia nyumba+ zote za mahali pa juu zilizokuwa katika majiji+ ya Samaria ambazo wafalme+ wa Israeli walijenga ili kusababisha uchungu+ Yosia akaziondoa, naye akazitendea kulingana na matendo yote aliyotenda kule Betheli.+
19 Na pia nyumba+ zote za mahali pa juu zilizokuwa katika majiji+ ya Samaria ambazo wafalme+ wa Israeli walijenga ili kusababisha uchungu+ Yosia akaziondoa, naye akazitendea kulingana na matendo yote aliyotenda kule Betheli.+