1 Wafalme 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akaanza kujenga nyumba ya mahali pa juu+ na kuweka makuhani kutoka kwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa wa wana wa Lawi.+ 1 Wafalme 13:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana bila shaka litatimia+ neno lile alilotangaza kwa neno la Yehova juu ya ile madhabahu+ iliyoko Betheli na juu ya nyumba zote za mahali pa juu+ zilizo katika majiji ya Samaria.”+
31 Naye akaanza kujenga nyumba ya mahali pa juu+ na kuweka makuhani kutoka kwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa wa wana wa Lawi.+
32 Kwa maana bila shaka litatimia+ neno lile alilotangaza kwa neno la Yehova juu ya ile madhabahu+ iliyoko Betheli na juu ya nyumba zote za mahali pa juu+ zilizo katika majiji ya Samaria.”+