32 Kwa maana bila shaka litatimia+ neno lile alilotangaza kwa neno la Yehova juu ya ile madhabahu+ iliyoko Betheli na juu ya nyumba zote za mahali pa juu+ zilizo katika majiji ya Samaria.”+
25 Katika kila kichwa cha njia ulikijenga kilele+ chako nawe ukaanza kuufanya urembo wako kuwa chukizo+ na kumpanulia miguu yako kila mpita-njia+ na kuzidisha matendo yako ya ukahaba.+