Mambo ya Walawi 26:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nitaharibu mahali penu patakatifu palipo juu+ na kuvikatakata vinara vyenu vya uvumba, nami nitarundika mizoga yenu juu ya mizoga ya sanamu zenu zenye kuchukiza,*+ nami nitawachukia na kuwaacha.+ 1 Wafalme 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kisha akamweka ndama mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+ 1 Wafalme 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akajenga nyumba za ibada mahali pa juu na kuchagua makuhani kutoka miongoni mwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa Walawi.+
30 Nitaharibu mahali penu patakatifu palipo juu+ na kuvikatakata vinara vyenu vya uvumba, nami nitarundika mizoga yenu juu ya mizoga ya sanamu zenu zenye kuchukiza,*+ nami nitawachukia na kuwaacha.+
31 Naye akajenga nyumba za ibada mahali pa juu na kuchagua makuhani kutoka miongoni mwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa Walawi.+