14 Hivyo Abramu akasikia kwamba mtu wake wa ukoo*+ alikuwa ametekwa. Kwa hiyo akawakusanya wanaume wake waliozoezwa, watumishi 318 waliozaliwa nyumbani mwake, wakawafuatia mpaka Dani.+
34Kisha Musa akatoka katika jangwa tambarare la Moabu na kupanda Mlima Nebo,+ kwenye kilele cha Pisga,+ kinachoelekeana na Yeriko.+ Yehova akamwonyesha nchi yote, kuanzia Gileadi mpaka Dani,+