Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Katika mwaka wa 8 wa utawala wake, alipokuwa angali mvulana, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi babu yake;+ na katika mwaka wa 12, akaanza kusafisha Yuda na Yerusalemu+ kwa kuondoa mahali pa juu+ na miti mitakatifu,* sanamu za kuchongwa,+ na sanamu za chuma.*

  • Isaya 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Basi kwa njia hii uovu wa Yakobo utafunikwa,+

      Na haya ndiyo yatakayokuwa mazao kamili dhambi yake itakapoondolewa:

      Atayafanya mawe yote ya madhabahu

      Yawe kama mawe ya chokaa yaliyopondwa na kuwa ungaunga,

      Na hakuna miti mitakatifu* au vinara vya uvumba vitakavyobaki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki