Isaya 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova atakapoosha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwagaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,*+ Isaya 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kama fedha.+ Nimekujaribu* katika tanuru la kuyeyushia la mateso.+
4 Yehova atakapoosha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwagaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,*+
10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kama fedha.+ Nimekujaribu* katika tanuru la kuyeyushia la mateso.+