Isaya 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nitaugeuza mkono wangu dhidi yako,Nitayeyusha takataka yako kama kwa sabuni,Nami nitauondoa uchafu wako wote.+ Yeremia 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nitawayeyusha na kuwajaribu,+Kwa maana ni nini kingine ninachoweza kumtendea binti ya watu wangu?
25 Nitaugeuza mkono wangu dhidi yako,Nitayeyusha takataka yako kama kwa sabuni,Nami nitauondoa uchafu wako wote.+
7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nitawayeyusha na kuwajaribu,+Kwa maana ni nini kingine ninachoweza kumtendea binti ya watu wangu?