Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Vifaa vya kuvukuta vimeunguzwa.

      Risasi inatoka kwenye moto wao.

      Mtu anaendelea kuwasafisha sana lakini anafanya kazi ya bure,+

      Na wale wabaya hawajatengwa.+

      30 Hakika watu watawaita fedha iliyokataliwa,

      Kwa maana Yehova amewakataa.”+

  • Yeremia 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Nitawayeyusha na kuwajaribu,+

      Kwa maana ni nini kingine ninachoweza kumtendea binti ya watu wangu?

  • Malaki 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye ataketi kama msafishaji na mtakasaji wa fedha,+ naye atawatakasa wana wa Lawi; atawasafisha kama dhahabu na kama fedha, nao hakika watakuwa watu wanaomtolea Yehova zawadi kwa uadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki