Zaburi 66:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+Umetusafisha kama fedha inavyosafishwa. Methali 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ondoa takataka katika fedha,Nayo itakuwa safi kabisa.+ Zekaria 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na theluthi hiyo moja nitaipitisha motoni;Nami nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa,Na kuwajaribu kama dhahabu inavyojaribiwa.+ Wataliitia jina langu,Nami nitawajibu. Nitasema, ‘Wao ni watu wangu,’+ Nao watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”
9 Na theluthi hiyo moja nitaipitisha motoni;Nami nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa,Na kuwajaribu kama dhahabu inavyojaribiwa.+ Wataliitia jina langu,Nami nitawajibu. Nitasema, ‘Wao ni watu wangu,’+ Nao watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”