Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 66:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+

      Umetusafisha kama fedha inavyosafishwa.

  • Methali 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ondoa takataka katika fedha,

      Nayo itakuwa safi kabisa.+

  • Zekaria 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Na theluthi hiyo moja nitaipitisha motoni;

      Nami nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa,

      Na kuwajaribu kama dhahabu inavyojaribiwa.+

      Wataliitia jina langu,

      Nami nitawajibu.

      Nitasema, ‘Wao ni watu wangu,’+

      Nao watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki