Yeremia 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nitawayeyusha na kuwajaribu,+Kwa maana ni nini kingine ninachoweza kumtendea binti ya watu wangu? Ezekieli 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kama watu wanavyokusanya fedha na shaba na chuma na risasi na bati katika tanuru ili kuyapulizia moto madini hayo na kuyayeyusha, ndivyo nitakavyowakusanya ninyi kwa hasira yangu na kwa ghadhabu yangu, nami nitawapuliza na kuwayeyusha.+
7 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nitawayeyusha na kuwajaribu,+Kwa maana ni nini kingine ninachoweza kumtendea binti ya watu wangu?
20 Kama watu wanavyokusanya fedha na shaba na chuma na risasi na bati katika tanuru ili kuyapulizia moto madini hayo na kuyayeyusha, ndivyo nitakavyowakusanya ninyi kwa hasira yangu na kwa ghadhabu yangu, nami nitawapuliza na kuwayeyusha.+