Hesabu 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Balaamu akaondoka asubuhi, akamtandika punda-jike wake, akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.+ Waamuzi 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi wapandaji wa punda-jike+ wenye rangi nyekundu ya kimanjano,Enyi mnaokaa kwenye mazulia yenye thamani,Nanyi mnaotembea barabarani,Angalieni!+ 2 Samweli 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye akasema: “Bwana wangu mfalme, mtumishi wangu+ ndiye aliyenidanganya. Kwa maana mtumishi wako alikuwa amesema, ‘Acha nijitandikie punda-jike ili nimpande, niende pamoja na mfalme,’ kwa maana mtumishi wako ni kilema.+
10 Enyi wapandaji wa punda-jike+ wenye rangi nyekundu ya kimanjano,Enyi mnaokaa kwenye mazulia yenye thamani,Nanyi mnaotembea barabarani,Angalieni!+
26 Naye akasema: “Bwana wangu mfalme, mtumishi wangu+ ndiye aliyenidanganya. Kwa maana mtumishi wako alikuwa amesema, ‘Acha nijitandikie punda-jike ili nimpande, niende pamoja na mfalme,’ kwa maana mtumishi wako ni kilema.+