2 Samweli 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akamjibu: “Bwana wangu mfalme, mtumishi wangu+ alinidanganya. Kwa maana mimi mtumishi wako nilikuwa nimesema, ‘Acha niweke matandiko juu ya punda wangu ili nipande juu yake na kwenda pamoja na mfalme,’ kwa maana mimi mtumishi wako ni kilema.+
26 Akamjibu: “Bwana wangu mfalme, mtumishi wangu+ alinidanganya. Kwa maana mimi mtumishi wako nilikuwa nimesema, ‘Acha niweke matandiko juu ya punda wangu ili nipande juu yake na kwenda pamoja na mfalme,’ kwa maana mimi mtumishi wako ni kilema.+