Waamuzi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye akaja kuwa na wana 30 waliopanda punda 30 waliokomaa,+ nao walikuwa na majiji 30. Majiji hayo wanaendelea kuyaita Hawoth-yairi+ mpaka leo hii; yako katika nchi ya Gileadi. Waamuzi 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaja kuwa na wana 40 na wajukuu 30 waliopanda punda wakomavu+ 70. Naye akaendelea kuhukumu Israeli kwa miaka minane.
4 Naye akaja kuwa na wana 30 waliopanda punda 30 waliokomaa,+ nao walikuwa na majiji 30. Majiji hayo wanaendelea kuyaita Hawoth-yairi+ mpaka leo hii; yako katika nchi ya Gileadi.
14 Naye akaja kuwa na wana 40 na wajukuu 30 waliopanda punda wakomavu+ 70. Naye akaendelea kuhukumu Israeli kwa miaka minane.