Waamuzi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alikuwa na wana 30 waliopanda juu ya punda 30, nao walikuwa na majiji 30 katika nchi ya Gileadi, ambayo mpaka leo yanaitwa Hawoth-yairi.+
4 Alikuwa na wana 30 waliopanda juu ya punda 30, nao walikuwa na majiji 30 katika nchi ya Gileadi, ambayo mpaka leo yanaitwa Hawoth-yairi.+