Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa sababu hiyo tazama, nitaleta msiba juu ya nyumba ya Yeroboamu, nami kwa hakika nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu yeyote anayekojoa ukutani,+ asiye na uwezo na asiye na thamani katika Israeli;+ nami kwa kweli nitafagia kabisa nikiifuata nyumba ya Yeroboamu,+ kama vile mtu anavyoondoa mavi mpaka yanapokuwa yameondolewa.+

  • 1 Wafalme 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na ikawa kwamba mara tu alipokuwa mfalme, akaipiga nyumba yote ya Yeroboamu. Hakuacha yeyote wa Yeroboamu anayepumua abaki mpaka alipokuwa amewaangamiza, kulingana na neno la Yehova alilosema kupitia mtumishi wake Ahiya Mshilo,+

  • 2 Wafalme 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 mpaka Yehova alipoondoa Israeli kutoka mbele za macho yake,+ kama alivyokuwa amesema kupitia kwa watumishi wake wote manabii.+ Basi Israeli wakatoka katika udongo wao wenyewe, wakaenda uhamishoni katika Ashuru mpaka leo hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki