Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ningalikuwa nimesema: “Nitawatawanya,+

      Nitalifanya jina lao likome kutoka katikati ya watu wanaoweza kufa,”+

  • 2 Wafalme 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa.

  • 2 Wafalme 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini Yehova akasema: “Nitaondoa Yuda+ pia mbele za macho yangu,+ kama nilivyoondoa Israeli;+ nami nitalikataa jiji hili ambalo nimechagua, naam, Yerusalemu, na nyumba ambayo nimesema hivi kuihusu, ‘Jina langu litaendelea kuwa humo.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki