Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 13:1

Marejeo

  • +2Fa 11:2, 21
  • +2Fa 8:26; 9:27
  • +2Fa 10:35
  • +2Fa 10:30

2 Wafalme 13:2

Marejeo

  • +Kum 28:15
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +1Fa 14:16

2 Wafalme 13:3

Marejeo

  • +Law 26:17; Kum 6:15; 7:4; Zb 7:11; Ebr 12:29
  • +1Fa 19:17; 2Fa 8:12
  • +2Fa 13:24

2 Wafalme 13:4

Marejeo

  • +Amu 6:6; 10:10; 2Nya 33:13; Zb 78:34
  • +Kum 4:7; Zb 50:15; 65:2; 1Yo 5:14
  • +Mwa 31:42; Kut 3:7; Amu 10:16
  • +2Fa 14:26

2 Wafalme 13:5

Marejeo

  • +Ne 9:27
  • +Zb 130:4

2 Wafalme 13:6

Marejeo

  • +2Fa 10:29; 17:21
  • +1Fa 16:26
  • +Kum 7:5; 1Fa 14:15; 16:33

2 Wafalme 13:7

Marejeo

  • +2Fa 10:32
  • +Kum 28:45; 2Fa 8:12
  • +Amo 1:3

2 Wafalme 13:8

Marejeo

  • +1Fa 14:19; 2Fa 10:34

2 Wafalme 13:9

Marejeo

  • +2Fa 10:35
  • +2Fa 14:8

2 Wafalme 13:10

Marejeo

  • +2Fa 14:1

2 Wafalme 13:11

Marejeo

  • +2Fa 13:2; Ho. 5:11
  • +2Fa 10:29

2 Wafalme 13:12

Marejeo

  • +2Fa 14:8, 13; 2Nya 25:17
  • +1Fa 14:19; 2Fa 10:34

2 Wafalme 13:13

Marejeo

  • +2Fa 14:28
  • +2Fa 10:35; 13:9

2 Wafalme 13:14

Marejeo

  • +1Fa 19:16; 2Fa 5:8
  • +Zek 1:5
  • +2Fa 5:13
  • +2Fa 2:12

2 Wafalme 13:16

Marejeo

  • +Zb 144:1

2 Wafalme 13:17

Marejeo

  • +Zb 18:14
  • +1Sa 29:1; 1Fa 20:26

2 Wafalme 13:18

Marejeo

  • +Gal 6:9

2 Wafalme 13:19

Marejeo

  • +Isa 44:26
  • +2Fa 13:25

2 Wafalme 13:20

Marejeo

  • +Zb 139:8
  • +2Fa 24:2
  • +2Fa 1:1

2 Wafalme 13:21

Marejeo

  • +Yoh 11:44; Ebr 11:35
  • +Ufu 11:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2017, uku. 5

    The Watchtower,

    8/1/2005, uku. 11

    11/15/1991, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/1 11

2 Wafalme 13:22

Marejeo

  • +1Fa 19:15; 2Fa 10:32
  • +2Fa 8:12; Zb 106:41

2 Wafalme 13:23

Marejeo

  • +Amu 10:16; 2Fa 14:27; Ne 9:31; Zb 86:15; Isa 30:18; Omb 3:32
  • +Zb 145:8; 2Ko 1:3; Efe 2:4
  • +Kut 2:24
  • +Mwa 13:16; 17:7; 22:17; Kut 32:13
  • +Mwa 26:3
  • +Mwa 28:13; Law 26:42
  • +Zb 105:8; Mik 7:20; Ebr 6:18

2 Wafalme 13:25

Marejeo

  • +2Fa 13:19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 13:12Fa 11:2, 21
2 Fal. 13:12Fa 8:26; 9:27
2 Fal. 13:12Fa 10:35
2 Fal. 13:12Fa 10:30
2 Fal. 13:2Kum 28:15
2 Fal. 13:21Fa 12:28; 13:33
2 Fal. 13:21Fa 14:16
2 Fal. 13:3Law 26:17; Kum 6:15; 7:4; Zb 7:11; Ebr 12:29
2 Fal. 13:31Fa 19:17; 2Fa 8:12
2 Fal. 13:32Fa 13:24
2 Fal. 13:4Amu 6:6; 10:10; 2Nya 33:13; Zb 78:34
2 Fal. 13:4Kum 4:7; Zb 50:15; 65:2; 1Yo 5:14
2 Fal. 13:4Mwa 31:42; Kut 3:7; Amu 10:16
2 Fal. 13:42Fa 14:26
2 Fal. 13:5Ne 9:27
2 Fal. 13:5Zb 130:4
2 Fal. 13:62Fa 10:29; 17:21
2 Fal. 13:61Fa 16:26
2 Fal. 13:6Kum 7:5; 1Fa 14:15; 16:33
2 Fal. 13:72Fa 10:32
2 Fal. 13:7Kum 28:45; 2Fa 8:12
2 Fal. 13:7Amo 1:3
2 Fal. 13:81Fa 14:19; 2Fa 10:34
2 Fal. 13:92Fa 10:35
2 Fal. 13:92Fa 14:8
2 Fal. 13:102Fa 14:1
2 Fal. 13:112Fa 13:2; Ho. 5:11
2 Fal. 13:112Fa 10:29
2 Fal. 13:122Fa 14:8, 13; 2Nya 25:17
2 Fal. 13:121Fa 14:19; 2Fa 10:34
2 Fal. 13:132Fa 14:28
2 Fal. 13:132Fa 10:35; 13:9
2 Fal. 13:141Fa 19:16; 2Fa 5:8
2 Fal. 13:14Zek 1:5
2 Fal. 13:142Fa 5:13
2 Fal. 13:142Fa 2:12
2 Fal. 13:16Zb 144:1
2 Fal. 13:17Zb 18:14
2 Fal. 13:171Sa 29:1; 1Fa 20:26
2 Fal. 13:18Gal 6:9
2 Fal. 13:19Isa 44:26
2 Fal. 13:192Fa 13:25
2 Fal. 13:20Zb 139:8
2 Fal. 13:202Fa 24:2
2 Fal. 13:202Fa 1:1
2 Fal. 13:21Yoh 11:44; Ebr 11:35
2 Fal. 13:21Ufu 11:11
2 Fal. 13:221Fa 19:15; 2Fa 10:32
2 Fal. 13:222Fa 8:12; Zb 106:41
2 Fal. 13:23Amu 10:16; 2Fa 14:27; Ne 9:31; Zb 86:15; Isa 30:18; Omb 3:32
2 Fal. 13:23Zb 145:8; 2Ko 1:3; Efe 2:4
2 Fal. 13:23Kut 2:24
2 Fal. 13:23Mwa 13:16; 17:7; 22:17; Kut 32:13
2 Fal. 13:23Mwa 26:3
2 Fal. 13:23Mwa 28:13; Law 26:42
2 Fal. 13:23Zb 105:8; Mik 7:20; Ebr 6:18
2 Fal. 13:252Fa 13:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 13:1-25

2 Wafalme

13 Katika mwaka wa 23 wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi+ mwana wa Yehu+ akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 17. 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaifuatilia dhambi ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Hakugeuka aiache. 3 Na hasira+ ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, hivi kwamba akawatia mkononi mwa Hazaeli+ mfalme wa Siria na mkononi mwa Ben-hadadi+ mwana wa Hazaeli siku zao zote.

4 Baada ya muda Yehoahazi akautuliza+ uso wa Yehova, hata Yehova akamsikiliza;+ kwa maana alikuwa ameona kukandamizwa kwa Israeli,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewakandamiza.+ 5 Basi Yehova akawapa Israeli mwokozi,+ hata wakatoka chini ya mkono wa Siria, na wana wa Israeli wakaendelea kukaa katika nyumba zao kama hapo mwanzoni.+ 6 (Isipokuwa tu hawakuacha dhambi ya nyumba ya Yeroboamu, aliyosababisha Israeli watende dhambi.+ Alitembea katika hiyo;+ na hata mti mtakatifu+ ulisimama katika Samaria.) 7 Kwa maana hakuwa amemwachia Yehoahazi watu wowote isipokuwa wapanda-farasi 50 na magari 10 na watu 10,000 wanaoenda kwa miguu,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaharibu,+ ili awafanye kuwa kama mavumbi wakati wa kupura.+

8 Na mambo mengine ya Yehoahazi na yote aliyoyafanya na uwezo wake, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 9 Mwishowe Yehoahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika Samaria;+ na Yehoashi+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

10 Katika mwaka wa 37 wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 16. 11 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Alitembea katika hizo.

12 Na mambo mengine ya Yehoashi na yote aliyoyafanya na uwezo wake na jinsi alivyopigana+ na Amazia mfalme wa Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 13 Mwishowe Yehoashi akalala pamoja na mababu zake, na Yeroboamu+ akaketi juu ya kiti chake cha ufalme. Naye Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.+

14 Naye Elisha+ alikuwa ameshikwa na ugonjwa ambao ulikuwa wa kumuua.+ Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akashuka kuja kwake, akaanza kulia juu ya uso wake, akisema: “Baba yangu,+ baba yangu, gari la vita la Israeli na wapanda-farasi wake!”+ 15 Na Elisha akamwambia: “Chukua upinde na mishale.” Basi akachukua upinde na mishale. 16 Naye akaendelea kumwambia mfalme wa Israeli: “Weka mkono kwenye upinde.” Basi akaweka mkono wake kwenye upinde, halafu Elisha akaweka mikono yake juu ya mikono+ ya mfalme. 17 Ndipo akasema: “Fungua dirisha la upande wa mashariki.” Basi akalifungua. Mwishowe Elisha akasema: “Piga!” Basi akapiga. Sasa akasema: “Mshale wa wokovu wa Yehova, naam, mshale wa wokovu+ juu ya Siria! Nawe hakika utaipiga Siria kule Afeki+ kufikia hatua ya kuimaliza.”

18 Naye akaendelea kusema: “Chukua mishale.” Basi akaichukua. Kisha akamwambia mfalme wa Israeli: “Piga chini.” Basi akapiga mara tatu halafu akaacha.+ 19 Na yule mtu wa Mungu wa kweli+ akamkasirikia; kwa hiyo akasema: “Ilikupasa upige mara tano au mara sita! Kama ingekuwa hivyo, ungeipiga Siria kufikia hatua ya kuimaliza, lakini sasa utaipiga Siria mara tatu.”+

20 Kisha Elisha akafa, nao wakamzika.+ Na palikuwa na vikundi vya waporaji+ vya Wamoabu+ waliokuja kwa ukawaida katika nchi mwanzoni mwa mwaka. 21 Na ikawa kwamba walipokuwa wakimzika mtu, tazama, wakaona kikundi cha waporaji. Wakamtupa mara moja yule mtu ndani ya kaburi la Elisha, wakaenda zao. Mtu yule alipoigusa mifupa ya Elisha, akawa hai+ mara moja na kusimama kwa miguu+ yake.

22 Kwa habari ya Hazaeli+ mfalme wa Siria, yeye aliwakandamiza+ Israeli siku zote za Yehoahazi. 23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa. 24 Mwishowe Hazaeli mfalme wa Siria akafa, na Ben-hadadi mwana wake akaanza kutawala mahali pake. 25 Na Yehoashi mwana wa Yehoahazi akachukua tena kutoka mkononi mwa Ben-hadadi mwana wa Hazaeli yale majiji aliyokuwa amechukua kutoka mkononi mwa Yehoahazi baba yake katika vita. Yehoashi akampiga mara tatu, naye akayarudisha majiji ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki