2 Wafalme 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehoahazi akabaki tu na jeshi lenye wapanda farasi 50, magari 10 ya vita, na wanajeshi 10,000 wanaotembea kwa miguu kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaangamiza,+ aliwakanyaga-kanyaga kama mavumbi wakati wa kupura.+
7 Yehoahazi akabaki tu na jeshi lenye wapanda farasi 50, magari 10 ya vita, na wanajeshi 10,000 wanaotembea kwa miguu kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaangamiza,+ aliwakanyaga-kanyaga kama mavumbi wakati wa kupura.+