2 Wafalme 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaifuatilia dhambi ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Hakugeuka aiache. Hosea 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Efraimu ameonewa, amepondwa kwa haki,+ kwa maana alikuwa amejiamulia mwenyewe kumfuata adui yake.+
2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ akaifuatilia dhambi ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyosababisha Israeli kutenda dhambi.+ Hakugeuka aiache.
11 Efraimu ameonewa, amepondwa kwa haki,+ kwa maana alikuwa amejiamulia mwenyewe kumfuata adui yake.+