2 Wafalme 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mwishowe Yehu akalala pamoja na mababu+ zake, nao wakamzika katika Samaria; na Yehoahazi+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. 2 Wafalme 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe Yehoahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika Samaria;+ na Yehoashi+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
35 Mwishowe Yehu akalala pamoja na mababu+ zake, nao wakamzika katika Samaria; na Yehoahazi+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
9 Mwishowe Yehoahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika Samaria;+ na Yehoashi+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.