2 Wafalme 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha wakati huo Amazia aliwatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, na kusema: “Haya njoo. Tutazamane uso kwa uso.”+
8 Kisha wakati huo Amazia aliwatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, na kusema: “Haya njoo. Tutazamane uso kwa uso.”+