Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mwishowe Abneri akamwambia Yoabu: “Tafadhali, acha vijana wasimame, wapambane mbele yetu.” Naye Yoabu akasema: “Acha wasimame.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Amazia mfalme wa Yuda akatafuta shauri na kutuma ujumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli,+ na kusema: “Njoo! Tutazamane uso kwa uso.”+

  • Methali 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya kimbelembele mtu husababisha tu pambano,+ lakini wale wanaoshauriana pamoja wana hekima.+

  • Methali 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki