2 Wafalme 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Katika mwaka wa 23 wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi+ mwana wa Yehu+ akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 17. 2 Wafalme 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hakuwa amemwachia Yehoahazi watu wowote isipokuwa wapanda-farasi 50 na magari 10 na watu 10,000 wanaoenda kwa miguu,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaharibu,+ ili awafanye kuwa kama mavumbi wakati wa kupura.+
13 Katika mwaka wa 23 wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi+ mwana wa Yehu+ akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 17.
7 Kwa maana hakuwa amemwachia Yehoahazi watu wowote isipokuwa wapanda-farasi 50 na magari 10 na watu 10,000 wanaoenda kwa miguu,+ kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaharibu,+ ili awafanye kuwa kama mavumbi wakati wa kupura.+