2 Wafalme 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na yule mtu wa Mungu wa kweli+ akamkasirikia; kwa hiyo akasema: “Ilikupasa upige mara tano au mara sita! Kama ingekuwa hivyo, ungeipiga Siria kufikia hatua ya kuimaliza, lakini sasa utaipiga Siria mara tatu.”+
19 Na yule mtu wa Mungu wa kweli+ akamkasirikia; kwa hiyo akasema: “Ilikupasa upige mara tano au mara sita! Kama ingekuwa hivyo, ungeipiga Siria kufikia hatua ya kuimaliza, lakini sasa utaipiga Siria mara tatu.”+