2 Wafalme 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo yule mtu wa Mungu wa kweli akamkasirikia sana na kumwambia: “Ulipaswa kuipiga ardhi mara tano au mara sita! Kama ungefanya hivyo, ungeipiga Siria mpaka uiangamize, lakini sasa utaipiga Siria mara tatu tu.”+
19 Ndipo yule mtu wa Mungu wa kweli akamkasirikia sana na kumwambia: “Ulipaswa kuipiga ardhi mara tano au mara sita! Kama ungefanya hivyo, ungeipiga Siria mpaka uiangamize, lakini sasa utaipiga Siria mara tatu tu.”+