Zaburi 145:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwenye neema na mwenye rehema,+Si mwepesi wa hasira naye ni mkuu katika fadhili zenye upendo.+ 2 Wakorintho 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Abarikiwe Mungu na Baba+ ya Bwana wetu Yesu Kristo, Baba ya rehema+ nyororo na Mungu wa faraja+ yote, Waefeso 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Mungu, aliye tajiri katika rehema,+ kwa upendo wake mkubwa aliotupenda nao,+
8 Yehova ni mwenye neema na mwenye rehema,+Si mwepesi wa hasira naye ni mkuu katika fadhili zenye upendo.+
3 Abarikiwe Mungu na Baba+ ya Bwana wetu Yesu Kristo, Baba ya rehema+ nyororo na Mungu wa faraja+ yote,