Yohana 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu akamwambia: “Acha kuning’ang’ania. Kwa maana bado sijapanda kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu+ zangu, nawe uwaambie, ‘Mimi ninapanda kwenda kwa Baba+ yangu na Baba yenu na kwa Mungu wangu+ na Mungu wenu.’ ”+ Waefeso 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu mmoja+ na Baba wa watu wote, aliye juu ya wote na kupitia wote na katika wote.
17 Yesu akamwambia: “Acha kuning’ang’ania. Kwa maana bado sijapanda kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu+ zangu, nawe uwaambie, ‘Mimi ninapanda kwenda kwa Baba+ yangu na Baba yenu na kwa Mungu wangu+ na Mungu wenu.’ ”+