1 Wakorintho 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye. 1 Wakorintho 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na kuna utendaji wa namna mbalimbali,+ na bado ni Mungu yuleyule+ anayefanya utendaji wote katika watu wote.+
6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.
6 na kuna utendaji wa namna mbalimbali,+ na bado ni Mungu yuleyule+ anayefanya utendaji wote katika watu wote.+