Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitalitangaza jina lako+ kwa ndugu zangu;+

      Katikati ya kutaniko nitakusifu wewe.+

  • Mathayo 12:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kwa maana yeyote yule anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu.”

  • Mathayo 25:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na mfalme+ atajibu na kuwaambia, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo mlimtendea hilo mmoja wa walio wadogo zaidi+ wa ndugu zangu+ hawa, mlinitendea mimi.’+

  • Mathayo 28:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Yesu akawaambia: “Msiogope! Nendeni, mkawajulishe ndugu zangu,+ ili wapate kwenda zao Galilaya; na huko wataniona.”

  • Waroma 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kwa sababu wale aliowapa utambuzi+ wake wa kwanza pia aliwaagiza kimbele+ wafananishwe+ na mfano+ wa Mwana wake, ili awe mzaliwa wa kwanza+ kati ya ndugu+ wengi.

  • Waebrania 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hii yeye haoni aibu kuwaita “ndugu,”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki