Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+ Mathayo 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Yeye anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, naye anayenipokea mimi anampokea pia yule aliyenituma.+ Marko 9:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa maana yeyote anayewapa ninyi kikombe+ cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wa Kristo,+ kwa kweli ninawaambia ninyi, hatapoteza kamwe thawabu yake.
40 “Yeye anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, naye anayenipokea mimi anampokea pia yule aliyenituma.+
41 Kwa maana yeyote anayewapa ninyi kikombe+ cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wa Kristo,+ kwa kweli ninawaambia ninyi, hatapoteza kamwe thawabu yake.