Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 25:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na mfalme+ atajibu na kuwaambia, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo mlimtendea hilo mmoja wa walio wadogo zaidi+ wa ndugu zangu+ hawa, mlinitendea mimi.’+

  • Luka 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.”

  • Yohana 12:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hata hivyo, Yesu akapaaza sauti na kusema: “Yule ambaye huniamini huamini, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma;+

  • Yohana 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule anayempokea yeyote ninayemtuma hunipokea mimi pia.+ Naye anayenipokea mimi, humpokea pia yule aliyenituma.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki