Mathayo 25:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na mfalme+ atajibu na kuwaambia, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo mlimtendea hilo mmoja wa walio wadogo zaidi+ wa ndugu zangu+ hawa, mlinitendea mimi.’+ Luka 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.” Yohana 12:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, Yesu akapaaza sauti na kusema: “Yule ambaye huniamini huamini, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma;+ Yohana 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule anayempokea yeyote ninayemtuma hunipokea mimi pia.+ Naye anayenipokea mimi, humpokea pia yule aliyenituma.”+
40 Na mfalme+ atajibu na kuwaambia, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo mlimtendea hilo mmoja wa walio wadogo zaidi+ wa ndugu zangu+ hawa, mlinitendea mimi.’+
16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.”
44 Hata hivyo, Yesu akapaaza sauti na kusema: “Yule ambaye huniamini huamini, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma;+
20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule anayempokea yeyote ninayemtuma hunipokea mimi pia.+ Naye anayenipokea mimi, humpokea pia yule aliyenituma.”+