37 “Yeyote yule anayempokea mmoja wa watoto wachanga kama huyu kwa msingi wa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anapokea, si mimi tu, bali pia yule aliyenituma.”+
21 ninyi ambao kupitia yeye ni wenye kumwamini Mungu,+ yeye aliyemfufua kutoka kwa wafu+ na kumpa utukufu;+ ili imani na tumaini lenu viwe katika Mungu.+