Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Yeye anayewapokea ninyi ananipokea mimi pia, naye anayenipokea mimi anampokea pia yule aliyenituma.+

  • Mathayo 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+

  • Luka 9:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 na kuwaambia: “Yeyote yule anayempokea mtoto huyu mchanga kwa msingi wa jina langu ananipokea mimi pia, na yeyote anayenipokea, anampokea pia yule aliyenituma.+ Kwa maana anayejiendesha kama aliye mdogo+ zaidi kati yenu nyote ndiye aliye mkuu.”+

  • Yohana 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule anayempokea yeyote ninayemtuma hunipokea mimi pia.+ Naye anayenipokea mimi, humpokea pia yule aliyenituma.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki