Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hata hivyo, Yesu akasema: “Waacheni watoto wachanga, na acheni kuwazuia wasinijie, kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama wao.”+

  • 1 Wakorintho 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Akina ndugu, msiwe watoto wachanga katika nguvu za uelewaji,+ lakini iweni watoto kuhusiana na ubaya;+ hata hivyo iweni watu wazima katika nguvu za uelewaji.+

  • 1 Petro 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na, kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni tamaa kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa kitu+ ambayo ni ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki